Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:31, 32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Zaidi ya hayo, ilisemwa: ‘Yeyote anayemtaliki mke wake, anapaswa kumpa cheti cha talaka.’+ 32 Hata hivyo, ninawaambia kila mtu anayemtaliki mke wake kwa sababu nyingine isipokuwa uasherati,* anamweka katika kishawishi cha kufanya uzinzi, na yeyote anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa anafanya uzinzi.+

  • Marko 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakasema: “Musa aliruhusu kumwandikia cheti cha kumfukuza na kumtaliki.”+

  • Marko 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Akawaambia: “Yeyote anayemtaliki mke wake na kumwoa mwingine anafanya uzinzi+ dhidi yake,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki