Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Mwanamume akimwoa mwanamke lakini hapendezwi naye kwa sababu ameona jambo fulani lisilofaa kwake, ni lazima amwandikie mwanamke huyo cheti cha talaka,+ ampe, na kumruhusu aondoke nyumbani mwake.+

  • Mathayo 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mafarisayo wakaja wakikusudia kumjaribu Yesu, wakamuuliza: “Je, ni halali mwanamume kumtaliki mke wake kwa sababu yoyote ile?”+

  • Mathayo 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Akawajibu: “Musa aliwaruhusu kuwataliki wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu,+ lakini haikuwa hivyo tangu mwanzo.+

  • Marko 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mafarisayo wakaja, wakikusudia kumjaribu, wakamuuliza kama ni halali kwa mwanamume kumtaliki mke wake.+

  • Marko 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakasema: “Musa aliruhusu kumwandikia cheti cha kumfukuza na kumtaliki.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki