24 “Mwanamume akimchukua mwanamke na kumfanya awe mke wake, pia itatukia kwamba ikiwa hatapata kibali machoni pake kwa sababu amepata kitu fulani kisichofaa katika mwanamke huyo,+ atamwandikia pia cheti cha talaka+ na kukitia mkononi mwake na kumfukuza kutoka katika nyumba yake.+