Kutoka 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Usipotoshe uamuzi wa kesi ya maskini aliye miongoni mwenu.+ 2 Mambo ya Nyakati 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akawaambia hivi waamuzi: “Iweni waangalifu kuhusu mambo mnayotenda, kwa maana hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova, naye yupo pamoja nanyi mnapotoa hukumu.+ Methali 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeyote anayetangaza kwamba mwovu hana hatia na yeyote anayemshutumu mwadilifu+—Wote wawili wanamchukiza Yehova. Methali 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sema waziwazi na uhukumu kwa uadilifu;Tetea haki za* watu wa hali ya chini na maskini.+
6 Akawaambia hivi waamuzi: “Iweni waangalifu kuhusu mambo mnayotenda, kwa maana hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova, naye yupo pamoja nanyi mnapotoa hukumu.+
15 Yeyote anayetangaza kwamba mwovu hana hatia na yeyote anayemshutumu mwadilifu+—Wote wawili wanamchukiza Yehova.