Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wakati huo niliwaagiza hivi waamuzi wenu: ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, mnapaswa kuhukumu kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni.+ 17 Hampaswi kuhukumu kwa upendeleo.+ Mnapaswa kumsikiliza mdogo kama mnavyomsikiliza mkubwa.+ Msiogopeshwe na wanadamu,+ kwa sababu hukumu ni ya Mungu;+ na ikiwa kesi ni ngumu sana kwenu, ileteni kwangu, nami nitaisikiliza.’+

  • 2 Samweli 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Daudi akaendelea kutawala Israeli yote,+ naye aliwatawala watu wake wote+ kwa haki na uadilifu.+

  • Zaburi 72:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 72 Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako,

      Na umzawadie mwana wa mfalme uadilifu wako.+

       2 Na atetee kesi ya watu wako kwa uadilifu,

      Na ya watu wako wa hali ya chini kwa haki.+

  • Isaya 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,

      Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia.

      Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+

      Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki