-
1 Mambo ya Nyakati 18:14-17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Daudi akaendelea kutawala Israeli yote,+ naye aliwatawala watu wake wote kwa haki na uadilifu.+ 15 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi,+ Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu, 16 Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Shavsha alikuwa mwandishi. 17 Benaya mwana wa Yehoyada aliwasimamia Wakerethi+ na Wapelethi.+ Na wana wa Daudi walikuwa na cheo cha kwanza baada ya mfalme.
-