Mambo ya Walawi 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Nitawabariki* na kuwafanya mzaane na kuongezeka,+ nami nitatimiza agano nililofanya pamoja nanyi.+ Zaburi 127:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Watoto* ni urithi kutoka kwa Yehova;+Uzao wa tumbo ni thawabu.+ Zaburi 128:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mke wako atakuwa kama mzabibu unaozaa matunda mengi nyumbani mwako;+Watoto wako watakuwa kama machipukizi ya mzeituni kuzunguka meza yako.
9 “‘Nitawabariki* na kuwafanya mzaane na kuongezeka,+ nami nitatimiza agano nililofanya pamoja nanyi.+
3 Mke wako atakuwa kama mzabibu unaozaa matunda mengi nyumbani mwako;+Watoto wako watakuwa kama machipukizi ya mzeituni kuzunguka meza yako.