-
Yoshua 6:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Jiji na vitu vyote vilivyomo vinapaswa kuharibiwa;+ vyote ni vya Yehova. Ila msimwangamize Rahabu+ yule kahaba na wote walio pamoja naye nyumbani mwake, kwa sababu aliwaficha wajumbe tuliowatuma.+ 18 Lakini mjiepushe na kitu chochote kinachopaswa kuharibiwa,+ ili msikitamani kitu kinachopaswa kuharibiwa na kukichukua,+ msije mkaleta msiba* kwenye kambi ya Waisraeli.+
-