Mambo ya Walawi 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mtoeni nje ya kambi yule aliyelitukana, na wale wote waliomsikia wanapaswa kuweka mikono yao juu ya kichwa chake, kisha Waisraeli wote watampiga mawe.+ Yoshua 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu yeyote atakayeasi agizo lako na asiyetii amri yoyote utakayotoa atauawa.+ Lakini uwe jasiri na imara.”+
14 “Mtoeni nje ya kambi yule aliyelitukana, na wale wote waliomsikia wanapaswa kuweka mikono yao juu ya kichwa chake, kisha Waisraeli wote watampiga mawe.+
18 Mtu yeyote atakayeasi agizo lako na asiyetii amri yoyote utakayotoa atauawa.+ Lakini uwe jasiri na imara.”+