4 Basi Musa akaandika maneno yote ya Yehova.+ Kisha akaamka asubuhi na mapema na kujenga madhabahu kwenye sehemu ya chini ya mlima huo na nguzo 12 kulingana na idadi ya makabila 12 ya Israeli.
27 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Unapaswa kuandika maneno haya,+ kwa sababu kulingana na maneno haya, ninafanya agano pamoja nawe na pamoja na Israeli.”+