Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Leo ninyi nyote mmesimama mbele za Yehova Mungu wenu; viongozi wa makabila yenu, wazee wenu, maofisa wenu, kila mwanamume wa Israeli, 11 watoto wenu, wake zenu,+ na mkaaji mgeni+ anayeishi kambini mwenu, kuanzia mtu anayewakusanyia kuni mpaka anayewatekea maji.

  • Kumbukumbu la Torati 31:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakusanye watu pamoja,+ wanaume, wanawake, watoto,* na mkaaji mgeni aliye katika majiji* yenu, ili wasikilize na kujifunza kumhusu Yehova Mungu wenu na kumwogopa yeye na kuwa waangalifu kutekeleza maneno yote ya Sheria hii.

  • Nehemia 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi kuhani Ezra akaleta Sheria mbele ya kutaniko+ la wanaume, wanawake, na wote walioweza kusikiliza na kuelewa, katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki