Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hawa ndio wafalme ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi wa Yordani, kuanzia Baal-gadi+ katika Bonde la Lebanoni+ hadi Mlima Halaki,+ unaopanda hadi Seiri,+ halafu Yoshua akayapa makabila ya Israeli nchi yao ili waimiliki na kugawana kulingana na makabila yao,+

  • Yoshua 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,+

  • Yoshua 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini hawakuwafukuza Wakanaani waliokuwa wakikaa Gezeri,+ na tangu wakati huo Wakanaani wanaishi miongoni mwa wazao wa Efraimu+ wakifanya kazi za kulazimishwa.+

  • Yoshua 21:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Walawi waliobaki wa koo za Wakohathi walipewa majiji kwa kura katika eneo la kabila la Efraimu. 21 Waliwapa jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Shekemu+ na malisho yake katika eneo lenye milima la Efraimu, Gezeri+ na malisho yake,

  • 1 Wafalme 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 (Farao mfalme wa Misri alikuwa amekuja na kuliteka jiji la Gezeri na kuliteketeza kwa moto, na alikuwa pia amewaua Wakanaani+ walioishi katika jiji hilo. Basi akampa binti yake,+ mke wa Sulemani, jiji hilo kama zawadi ya kumuaga.*)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki