4 Kisha mpaka huo utapinda na kwenda upande wa kusini wa mwinuko wa Akrabimu,+ nao utaendelea mpaka Zini na kuishia upande wa kusini wa Kadesh-barnea.+ Kisha utaenda Hasar-adari+ na kuendelea mpaka Asimoni.
23 Yehova alipowatuma kutoka Kadesh-barnea+ na kuwaambia, ‘Pandeni mwimiliki nchi ambayo kwa hakika nitawapa!’ mliasi tena agizo la Yehova Mungu wenu,+ nanyi hamkuonyesha imani+ kumwelekea wala hamkumtii.