-
Waamuzi 3:9-11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Waisraeli walipomlilia Yehova awasaidie,+ Yehova aliwapa mwokozi ili awaokoe,+ Othnieli+ mwana wa Kenasi, ndugu mdogo wa Kalebu. 10 Roho ya Yehova ikamjia,+ akawa mwamuzi wa Israeli. Alipoenda vitani, Yehova alimtia Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia* mikononi mwake, naye akamshinda Kushan-rishathaimu. 11 Baada ya hapo nchi ikawa na amani* kwa miaka 40. Kisha Othnieli mwana wa Kenasi akafa.
-