Mwanzo 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndiyo maana alipaita mahali hapo Beer-sheba,*+ kwa sababu wote wawili walikuwa wamekula kiapo mahali hapo. Yoshua 19:1-3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kura ya pili+ ilikuwa ya Simeoni, kwa ajili ya kabila la Simeoni+ kulingana na koo zao. Nao walipewa urithi kati ya urithi wa kabila la Yuda.+ 2 Urithi wao ulikuwa Beer-sheba,+ Sheba, Molada,+ 3 Hasar-shuali,+ Bala, Esemu,+
31 Ndiyo maana alipaita mahali hapo Beer-sheba,*+ kwa sababu wote wawili walikuwa wamekula kiapo mahali hapo.
19 Kura ya pili+ ilikuwa ya Simeoni, kwa ajili ya kabila la Simeoni+ kulingana na koo zao. Nao walipewa urithi kati ya urithi wa kabila la Yuda.+ 2 Urithi wao ulikuwa Beer-sheba,+ Sheba, Molada,+ 3 Hasar-shuali,+ Bala, Esemu,+