Mwanzo 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndiyo maana alipaita mahali hapo Beer-sheba,*+ kwa sababu wote wawili walikuwa wamekula kiapo mahali hapo. Mwanzo 26:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Siku hiyo watumishi wa Isaka walikuja na kumwambia kuhusu kisima walichokuwa wamechimba,+ wakasema: “Tumepata maji!” 33 Kwa hiyo akakiita Shiba. Ndiyo sababu tangu siku hiyo jiji hilo linaitwa Beer-sheba.+ Yoshua 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na majiji yaliyokuwa upande wa kusini kabisa wa kabila la Yuda kuelekea mpaka wa Edomu+ yalikuwa Kabzeeli, Ederi, Yaguri, Yoshua 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hasar-shuali, Beer-sheba,+ Biziothia,
31 Ndiyo maana alipaita mahali hapo Beer-sheba,*+ kwa sababu wote wawili walikuwa wamekula kiapo mahali hapo.
32 Siku hiyo watumishi wa Isaka walikuja na kumwambia kuhusu kisima walichokuwa wamechimba,+ wakasema: “Tumepata maji!” 33 Kwa hiyo akakiita Shiba. Ndiyo sababu tangu siku hiyo jiji hilo linaitwa Beer-sheba.+
21 Na majiji yaliyokuwa upande wa kusini kabisa wa kabila la Yuda kuelekea mpaka wa Edomu+ yalikuwa Kabzeeli, Ederi, Yaguri,