-
Kumbukumbu la Torati 33:13-15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Alisema hivi kumhusu Yosefu:+
“Nchi yake na ibarikiwe na Yehova+
Kwa vitu bora vya mbinguni,
Kwa umande na maji kutoka katika chemchemi zilizo chini,+
14 Kwa vitu bora vinavyoletwa na jua
Na mazao bora kila mwezi,+
15 Kwa vitu bora kabisa kutoka katika milima ya zamani*+
Na vitu bora kutoka katika vilima vinavyodumu,
-
Yoshua 17:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Basi Yoshua akaiambia hivi nyumba ya Yosefu, yaani, kabila la Efraimu na Manase: “Ninyi ni wengi sana, nanyi mna nguvu nyingi. Hamtapata eneo moja tu,+ 18 eneo lenye milima litakuwa lenu pia.+ Ingawa ni msitu, ufyekeni, utakuwa mwisho wa eneo lenu. Mtawafukuza Wakanaani, hata kama wana nguvu na wana magari ya vita yenye miundu ya chuma.”*+
-
-
-