Yoshua 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na nchi ambayo wazao wa Yosefu+ waligawiwa*+ ilianzia Yordani huko Yeriko hadi kwenye vijito vilivyo upande wa mashariki wa Yeriko, na kupitia nyikani hadi Yeriko katika eneo lenye milima la Betheli.+ Yoshua 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na wazao wa Yosefu,+ yaani, watu wa kabila la Manase na kabila la Efraimu, wakamiliki nchi yao.+
16 Na nchi ambayo wazao wa Yosefu+ waligawiwa*+ ilianzia Yordani huko Yeriko hadi kwenye vijito vilivyo upande wa mashariki wa Yeriko, na kupitia nyikani hadi Yeriko katika eneo lenye milima la Betheli.+