Yoshua 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mpaka huo ulipanda hadi Beth-hogla+ na kuvuka upande wa kaskazini wa Beth-araba,+ nao uliendelea juu mpaka kwenye jiwe la Bohani+ mwana wa Rubeni. Yoshua 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu*+ na pwani yake. Hiyo ndiyo iliyokuwa mipaka yote ya wazao wa Yuda kulingana na koo zao.
6 Mpaka huo ulipanda hadi Beth-hogla+ na kuvuka upande wa kaskazini wa Beth-araba,+ nao uliendelea juu mpaka kwenye jiwe la Bohani+ mwana wa Rubeni.
12 Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu*+ na pwani yake. Hiyo ndiyo iliyokuwa mipaka yote ya wazao wa Yuda kulingana na koo zao.