11 Mfalme Hiramu+ wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, na kupeleka mbao za mierezi,+ maseremala, na waashi wa kujenga kuta, nao wakaanza kumjengea Daudi nyumba.*+
5Mfalme Hiramu wa Tiro+ aliposikia kwamba Sulemani ametiwa mafuta kuwa mfalme baada ya baba yake, aliwatuma watumishi wake kwa Sulemani, kwa maana sikuzote Hiramu alikuwa rafiki ya Daudi.*+