2 Kwa hiyo Yehova akawatia mikononi mwa* Yabini mfalme wa Kanaani,+ aliyetawala Hasori. Mkuu wa jeshi lake aliitwa Sisera, naye aliishi Haroshethi+ ya mataifa.*
9 Lakini walimsahau Yehova Mungu wao, naye akawauza+ mikononi mwa Sisera+ mkuu wa jeshi la Hasori na mikononi mwa Wafilisti+ na mikononi mwa mfalme wa Moabu,+ na maadui hao wakapigana nao.