Kutoka 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwanao akikuuliza baadaye, ‘Jambo hili linamaanisha nini?’ basi unapaswa kumwambia, ‘Kwa mkono wenye nguvu Yehova alitutoa Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa.+ Kumbukumbu la Torati 6:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Wakati ujao, mwana wako akikuuliza, ‘Vikumbusho, masharti, na sheria* ambazo Yehova Mungu wetu ametuamuru tushike zinamaanisha nini?’ 21 ndipo utakapomwambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa wa Farao kule Misri, lakini Yehova alitutoa Misri kwa mkono wenye nguvu. Zaburi 78:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mambo ambayo tumesikia na tunayojua,Ambayo baba zetu wametusimulia,+ 4 Hatutawaficha wana wao;Tutakisimulia kizazi kijacho mambo hayo+Matendo ya Yehova yanayostahili sifa na nguvu zake,+Mambo yanayostaajabisha aliyotenda.+
14 “Mwanao akikuuliza baadaye, ‘Jambo hili linamaanisha nini?’ basi unapaswa kumwambia, ‘Kwa mkono wenye nguvu Yehova alitutoa Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa.+
20 “Wakati ujao, mwana wako akikuuliza, ‘Vikumbusho, masharti, na sheria* ambazo Yehova Mungu wetu ametuamuru tushike zinamaanisha nini?’ 21 ndipo utakapomwambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa wa Farao kule Misri, lakini Yehova alitutoa Misri kwa mkono wenye nguvu.
3 Mambo ambayo tumesikia na tunayojua,Ambayo baba zetu wametusimulia,+ 4 Hatutawaficha wana wao;Tutakisimulia kizazi kijacho mambo hayo+Matendo ya Yehova yanayostahili sifa na nguvu zake,+Mambo yanayostaajabisha aliyotenda.+