Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mwanao akikuuliza baadaye, ‘Jambo hili linamaanisha nini?’ basi unapaswa kumwambia, ‘Kwa mkono wenye nguvu Yehova alitutoa Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 6:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Wakati ujao, mwana wako akikuuliza, ‘Vikumbusho, masharti, na sheria* ambazo Yehova Mungu wetu ametuamuru tushike zinamaanisha nini?’ 21 ndipo utakapomwambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa wa Farao kule Misri, lakini Yehova alitutoa Misri kwa mkono wenye nguvu.

  • Zaburi 78:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mambo ambayo tumesikia na tunayojua,

      Ambayo baba zetu wametusimulia,+

       4 Hatutawaficha wana wao;

      Tutakisimulia kizazi kijacho mambo hayo+

      Matendo ya Yehova yanayostahili sifa na nguvu zake,+

      Mambo yanayostaajabisha aliyotenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki