2 Samweli 22:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Ndiyo sababu nitakushukuru wewe, Ee Yehova, miongoni mwa mataifa,+Nami nitaliimbia sifa* jina lako:+ Zaburi 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamsifu Yehova kwa sababu ya haki yake;+Nitaliimbia sifa* jina la Yehova+ Aliye Juu Zaidi.+
50 Ndiyo sababu nitakushukuru wewe, Ee Yehova, miongoni mwa mataifa,+Nami nitaliimbia sifa* jina lako:+