Kumbukumbu la Torati 32:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa miungu ya kigeni walichochea hasira yake kali;+Walikuwa wakimkasirisha kwa mambo yanayochukiza.+ 17 Walikuwa wakiwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+Miungu ambayo hawakuijua,Mipya iliyokuja hivi karibuni,Miungu ambayo mababu zenu hawakuijua. Waamuzi 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi wakamwacha Yehova, Mungu wa baba zao, aliyewatoa katika nchi ya Misri.+ Nao wakafuata miungu mingine, miungu ya watu waliowazunguka,+ wakaiinamia, na hivyo wakamkasirisha Yehova.+
16 Kwa miungu ya kigeni walichochea hasira yake kali;+Walikuwa wakimkasirisha kwa mambo yanayochukiza.+ 17 Walikuwa wakiwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+Miungu ambayo hawakuijua,Mipya iliyokuja hivi karibuni,Miungu ambayo mababu zenu hawakuijua.
12 Basi wakamwacha Yehova, Mungu wa baba zao, aliyewatoa katika nchi ya Misri.+ Nao wakafuata miungu mingine, miungu ya watu waliowazunguka,+ wakaiinamia, na hivyo wakamkasirisha Yehova.+