Waamuzi 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nitakuletea Sisera, mkuu wa jeshi la Yabini na magari yake ya vita na majeshi yake kwenye kijito cha* Kishoni,+ nami nitamtia mikononi mwako.’”+ Waamuzi 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara moja Sisera akakusanya magari yake yote ya vita—magari 900 yenye miundu ya chuma*—na wanajeshi wote walioandamana naye kutoka Haroshethi ya mataifa na kwenda kwenye kijito cha* Kishoni.+ Zaburi 83:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watendee kama ulivyoitendea Midiani,+Kama ulivyomtendea Sisera na Yabini kwenye kijito cha* Kishoni.+
7 Nitakuletea Sisera, mkuu wa jeshi la Yabini na magari yake ya vita na majeshi yake kwenye kijito cha* Kishoni,+ nami nitamtia mikononi mwako.’”+
13 Mara moja Sisera akakusanya magari yake yote ya vita—magari 900 yenye miundu ya chuma*—na wanajeshi wote walioandamana naye kutoka Haroshethi ya mataifa na kwenda kwenye kijito cha* Kishoni.+
9 Watendee kama ulivyoitendea Midiani,+Kama ulivyomtendea Sisera na Yabini kwenye kijito cha* Kishoni.+