1 Wafalme 18:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kisha Eliya akawaambia: “Wakamateni manabii wa Baali! Msimwache hata mmoja wao atoroke!” Mara moja wakawakamata, na Eliya akawaleta chini kwenye kijito cha* Kishoni+ na kuwachinja huko.+ Zaburi 83:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watendee kama ulivyoitendea Midiani,+Kama ulivyomtendea Sisera na Yabini kwenye kijito cha* Kishoni.+
40 Kisha Eliya akawaambia: “Wakamateni manabii wa Baali! Msimwache hata mmoja wao atoroke!” Mara moja wakawakamata, na Eliya akawaleta chini kwenye kijito cha* Kishoni+ na kuwachinja huko.+
9 Watendee kama ulivyoitendea Midiani,+Kama ulivyomtendea Sisera na Yabini kwenye kijito cha* Kishoni.+