Waamuzi 5:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kutoka mbinguni nyota zilipigana;Kutoka kwenye njia zake zilipigana na Sisera. 21 Mafuriko ya Kishoni yaliwafagilia* mbali,+Mafuriko ya* kale, mafuriko ya* Kishoni. Uliwakanyaga wenye nguvu, Ee nafsi* yangu. Zaburi 83:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watendee kama ulivyoitendea Midiani,+Kama ulivyomtendea Sisera na Yabini kwenye kijito cha* Kishoni.+
20 Kutoka mbinguni nyota zilipigana;Kutoka kwenye njia zake zilipigana na Sisera. 21 Mafuriko ya Kishoni yaliwafagilia* mbali,+Mafuriko ya* kale, mafuriko ya* Kishoni. Uliwakanyaga wenye nguvu, Ee nafsi* yangu.
9 Watendee kama ulivyoitendea Midiani,+Kama ulivyomtendea Sisera na Yabini kwenye kijito cha* Kishoni.+