15 “Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote na sheria zake ninazowaamuru leo, laana hizi zote zitawajia na kuwatangulia:+
13 Ila tu ukubali hatia yako, kwa maana umemwasi Yehova Mungu wako. Uliendelea kutawanya wema wako* kwa wageni* chini ya kila mti wenye majani mengi, lakini hukuitii sauti yangu,” asema Yehova.’”