Waamuzi 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa wa Yoashi Mwabiezeri uliokuwa Ofra.+ Gideoni mwanawe+ alikuwa akipura ngano katika shinikizo la divai ili Wamidiani wasiione. Waamuzi 6:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Siku hiyo akamwita Gideoni jina Yerubaali,* akisema, “Acheni Baali ajitetee mwenyewe, kwa sababu mtu fulani amebomoa madhabahu yake.”
11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa wa Yoashi Mwabiezeri uliokuwa Ofra.+ Gideoni mwanawe+ alikuwa akipura ngano katika shinikizo la divai ili Wamidiani wasiione.
32 Siku hiyo akamwita Gideoni jina Yerubaali,* akisema, “Acheni Baali ajitetee mwenyewe, kwa sababu mtu fulani amebomoa madhabahu yake.”