25 Yoshua hakumwangamiza Rahabu yule kahaba, watu wa nyumba ya baba yake, na familia yake yote;+ Rahabu anakaa katika Israeli mpaka leo,+ kwa sababu aliwaficha wajumbe waliotumwa na Yoshua kupeleleza Yeriko.+
6 Ndipo Sauli akawaambia hivi Wakeni:+ “Nendeni, ondokeni kati ya Waamaleki ili nisiwafagilie mbali pamoja nao.+ Kwa maana mliwatendea watu wote wa Israeli+ kwa upendo mshikamanifu walipotoka Misri.” Basi Wakeni wakaondoka kati ya Waamaleki.