Yoshua 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova akawatia mikononi mwa Waisraeli,+ nao wakawashinda na kuwakimbiza mpaka Sidoni Kuu+ na Misrefoth-maimu+ na Bonde la Mispe upande wa mashariki, nao wakawaangamiza, na hakuna yeyote aliyebaki.+ Yoshua 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na Ebroni, Rehobu, Hamoni, na Kana hadi Sidoni Kuu.+ Yoshua 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.
8 Yehova akawatia mikononi mwa Waisraeli,+ nao wakawashinda na kuwakimbiza mpaka Sidoni Kuu+ na Misrefoth-maimu+ na Bonde la Mispe upande wa mashariki, nao wakawaangamiza, na hakuna yeyote aliyebaki.+
31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.