Yoshua 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+ Yoshua 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Helkathi+ na malisho yake, na Rehobu+ na malisho yake—majiji manne.
8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+