Yoshua 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na Ebroni, Rehobu, Hamoni, na Kana hadi Sidoni Kuu.+ Yoshua 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake. Waamuzi 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Waasheri hawakuwafukuza wakaaji wa Ako, Sidoni,+ Alabu, Akzibu,+ Helba, Afiki,+ na Rehobu.+
31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.