4 Kisha mpaka huo utapinda na kwenda upande wa kusini wa mwinuko wa Akrabimu,+ nao utaendelea mpaka Zini na kuishia upande wa kusini wa Kadesh-barnea.+ Kisha utaenda Hasar-adari+ na kuendelea mpaka Asimoni.
3 Na uliendelea upande wa kusini kwenye mwinuko wa Akrabimu,+ ukavuka hadi Zini, na kupanda kutoka kusini hadi Kadesh-barnea,+ kufika Hezroni, Adari, na kuzunguka hadi Karka.