Waamuzi 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wakapanda kwenda Betheli kumwomba Mungu ushauri.+ Basi Waisraeli wakamuuliza hivi: “Ni nani kati yetu anayepaswa kutuongoza kupigana na Wabenjamini?” Yehova akajibu, “Kabila la Yuda litaongoza.” Methali 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kura hupigwa mapajani,+Lakini kila uamuzi unaofanywa kwa kura hiyo hutoka kwa Yehova.+
18 Wakapanda kwenda Betheli kumwomba Mungu ushauri.+ Basi Waisraeli wakamuuliza hivi: “Ni nani kati yetu anayepaswa kutuongoza kupigana na Wabenjamini?” Yehova akajibu, “Kabila la Yuda litaongoza.”