12 Kisha Waisraeli wakamwambia Musa, “Sasa tutakufa, bila shaka tutaangamia, sisi sote tutaangamia! 13 Hata mtu yeyote atakayekaribia hema la Yehova la ibada atakufa!+ Je, ni lazima sote tufe kwa njia hiyo?”+
8 Lakini Daudi akakasirika kwa sababu hasira kali ya Yehova iliwaka dhidi ya Uza; na tangu siku hiyo mahali hapo panaitwa Peres-uza.*9 Basi Daudi akamwogopa Yehova+ siku hiyo na kusema: “Sanduku la Yehova linawezaje kuja kwangu?”+