Kutoka 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Hupaswi kukubali rushwa, kwa maana rushwa huwapofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu wenye haki.+ Kumbukumbu la Torati 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Msipotoshe haki,+ msipendelee,+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotosha maneno ya waadilifu. Zaburi 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+ Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+ Methali 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa haki mfalme huleta uthabiti nchini,+Lakini mtu anayetafuta rushwa huiharibu.
8 “Hupaswi kukubali rushwa, kwa maana rushwa huwapofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu wenye haki.+
19 Msipotoshe haki,+ msipendelee,+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotosha maneno ya waadilifu.
5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+ Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+