Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Hupaswi kukubali rushwa, kwa maana rushwa huwapofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu wenye haki.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Msipotoshe haki,+ msipendelee,+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotosha maneno ya waadilifu.

  • Zaburi 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+

      Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+

      Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+

  • Methali 29:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa haki mfalme huleta uthabiti nchini,+

      Lakini mtu anayetafuta rushwa huiharibu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki