5 Kisha utachukua yale mavazi+ na kumvisha Haruni kanzu, joho la efodi lisilo na mikono, efodi, na kifuko cha kifuani, nawe utamfunga vizuri kabisa kiunoni ule mshipi uliofumwa wa efodi.+
21 Atasimama mbele ya kuhani Eleazari, ambaye atatumia Urimu+ kujua uamuzi wa Yehova kwa niaba yake. Kwa agizo lake, yeye na Waisraeli wote na watu wengine wote watatoka, na kwa agizo lake wataingia ndani.”