1 Samweli 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Alihatarisha uhai wake* alipomuua yule Mfilisti,+ na Yehova akawapa Waisraeli wote ushindi* mkubwa. Uliona jambo hilo, ukashangilia sana. Basi kwa nini uitendee dhambi damu isiyo na hatia kwa kuagiza Daudi auawe bila sababu?”+ Methali 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Rafiki wa kweli hupenda nyakati zote+Naye ni ndugu ambaye amezaliwa kwa ajili ya nyakati za taabu.+ Methali 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kuna marafiki walio tayari kuangamizana,+Lakini kuna rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu kuliko ndugu.+
5 Alihatarisha uhai wake* alipomuua yule Mfilisti,+ na Yehova akawapa Waisraeli wote ushindi* mkubwa. Uliona jambo hilo, ukashangilia sana. Basi kwa nini uitendee dhambi damu isiyo na hatia kwa kuagiza Daudi auawe bila sababu?”+
17 Rafiki wa kweli hupenda nyakati zote+Naye ni ndugu ambaye amezaliwa kwa ajili ya nyakati za taabu.+
24 Kuna marafiki walio tayari kuangamizana,+Lakini kuna rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu kuliko ndugu.+