9 Kisha Doegi+ Mwedomu, aliyekuwa hapo akiwa msimamizi wa watumishi wa Sauli, akamjibu hivi:+ “Nilimwona mwana wa Yese akija Nobu kwa Ahimeleki mwana wa Ahitubu.+
19 Pia, akalishambulia kwa upanga jiji la Nobu,+ jiji la makuhani; aliwaua kwa upanga wanaume na wanawake, watoto wadogo na wale wanaonyonya, ng’ombe dume, punda, na kondoo.