1 Samweli 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 (Na Ahiya mwana wa Ahitubu,+ ndugu ya Ikabodi,+ mwana wa Finehasi,+ mwana wa Eli,+ kuhani wa Yehova kule Shilo,+ alikuwa amebeba efodi.)+ Na watu hawakujua kwamba Yonathani alikuwa ameondoka. 1 Samweli 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, aliyeitwa Abiathari,+ akatoroka, akakimbia kumfuata Daudi.
3 (Na Ahiya mwana wa Ahitubu,+ ndugu ya Ikabodi,+ mwana wa Finehasi,+ mwana wa Eli,+ kuhani wa Yehova kule Shilo,+ alikuwa amebeba efodi.)+ Na watu hawakujua kwamba Yonathani alikuwa ameondoka.
20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, aliyeitwa Abiathari,+ akatoroka, akakimbia kumfuata Daudi.