1 Samweli 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa Abiathari+ mwana wa Ahimeleki alipokimbia kwenda kwa Daudi huko Keila, alikuwa na efodi. 1 Samweli 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Daudi akamwambia kuhani Abiathari,+ mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete ile efodi hapa.”+ Kwa hiyo Abiathari akamletea Daudi hiyo efodi. 2 Samweli 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sheva alikuwa mwandishi; Sadoki+ na Abiathari+ walikuwa makuhani. 1 Wafalme 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi Sulemani akamwondoa Abiathari asiendelee kutumikia akiwa kuhani wa Yehova, ili kutimiza neno ambalo Yehova alisema dhidi ya nyumba ya Eli+ kule Shilo.+
7 Kisha Daudi akamwambia kuhani Abiathari,+ mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete ile efodi hapa.”+ Kwa hiyo Abiathari akamletea Daudi hiyo efodi.
27 Basi Sulemani akamwondoa Abiathari asiendelee kutumikia akiwa kuhani wa Yehova, ili kutimiza neno ambalo Yehova alisema dhidi ya nyumba ya Eli+ kule Shilo.+