15 Baadaye Hushai akamwambia Sadoki na Abiathari+ waliokuwa makuhani: “Hivi ndivyo Ahithofeli alivyomshauri Absalomu na wazee wa Israeli, na hivi ndivyo nilivyowashauri.
11 Mfalme Daudi akatuma ujumbe huu kwa Sadoki+ na Abiathari+ waliokuwa makuhani: “Waambieni wazee wa Yuda,+ ‘Kwa nini muwe wa mwisho kunirudisha mimi mfalme nyumbani kwangu, wakati ujumbe wa Waisraeli wote umenifikia nyumbani kwangu?