2 Samweli 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi. 2 Samweli 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Lirudishe jijini Sanduku la Mungu wa kweli.+ Nikipata kibali machoni pa Yehova, atanirudisha na kuniruhusu kuliona na kuona mahali linapokaa.+ 1 Wafalme 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini kuhani Sadoki,+ Benaya+ mwana wa Yehoyada, nabii Nathani,+ Shimei,+ Rei, na wale mashujaa hodari wa Daudi+ hawakumuunga mkono Adoniya.
17 Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi.
25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Lirudishe jijini Sanduku la Mungu wa kweli.+ Nikipata kibali machoni pa Yehova, atanirudisha na kuniruhusu kuliona na kuona mahali linapokaa.+
8 Lakini kuhani Sadoki,+ Benaya+ mwana wa Yehoyada, nabii Nathani,+ Shimei,+ Rei, na wale mashujaa hodari wa Daudi+ hawakumuunga mkono Adoniya.