21Baadaye Daudi akafika Nobu+ kwa kuhani Ahimeleki. Ahimeleki alianza kutetemeka alipokutana na Daudi, akamuuliza: “Kwa nini uko peke yako na hujaja na mtu yeyote?”+
9 Kisha Doegi+ Mwedomu, aliyekuwa hapo akiwa msimamizi wa watumishi wa Sauli, akamjibu hivi:+ “Nilimwona mwana wa Yese akija Nobu kwa Ahimeleki mwana wa Ahitubu.+