Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Huo ndio uliokuwa urithi wa watu wa kabila la Yuda kulingana na koo zao.

  • Yoshua 15:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yarmuthi, Adulamu,+ Soko, Azeka,+

  • 2 Samweli 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Viongozi watatu kati ya wale viongozi 30 walishuka wakati wa mavuno kwenda kwa Daudi katika pango la Adulamu,+ na kikosi* cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la* Refaimu.+

  • Zaburi 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwadilifu ana matatizo mengi,*+

      Lakini Yehova humwokoa kutoka katika matatizo hayo yote.+

  • Zaburi 56:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana umeniokoa kutoka katika kifo+

      Na kuizuia miguu yangu isijikwae,+

      Ili nitembee mbele za Mungu katika nuru ya walio hai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki