3 Daudi na wanaume wake wakakaa na Akishi huko Gathi, kila mwanamume na familia yake. Daudi alikuwa na wake zake wawili, Ahinoamu+ wa Yezreeli na Abigaili+ Mkarmeli, mjane wa Nabali.
3Hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa Hebroni:+ mzaliwa wa kwanza aliitwa Amnoni,+ mama yake aliitwa Ahinoamu+ kutoka Yezreeli; wa pili, Danieli, mama yake aliitwa Abigaili+ Mkarmeli;