32 Hata hivyo, Yehonadabu+ mwana wa Shimea,+ ndugu ya Daudi, akasema: “Bwana wangu usifikiri kwamba wamewaua wana wote wa mfalme, kwa maana Amnoni peke yake ndiye aliyekufa.+ Absalomu ndiye aliyeagiza auawe kwa sababu alikuwa amekusudia kufanya hivyo+ tangu Amnoni alipomwaibisha Tamari+ dada yake.+