Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 27:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Hata hivyo, Esau akawa na chuki kali dhidi ya Yakobo kwa sababu ya baraka ambayo baba yake alikuwa amempa,+ na Esau akawa akisema moyoni mwake: “Siku za kumwombolezea baba yangu zinakaribia.+ Zitakapokwisha nitamuua Yakobo ndugu yangu.”

  • Zaburi 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mtazame yule aliye na mimba ya uovu;

      Hutunga mimba ya matatizo na kuzaa uwongo.+

  • Methali 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndugu aliyekosewa ni mgumu kuliko jiji lenye ngome,+

      Na kuna mizozo ambayo ni kama makomeo ya ngome.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki