1 Samweli 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wafilisti wakamkaribia sana Sauli na wanawe, nao wakamuua Yonathani,+ Abinadabu, na Malki-shua, wana wa Sauli.+ 2 Samweli 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu+
2 Wafilisti wakamkaribia sana Sauli na wanawe, nao wakamuua Yonathani,+ Abinadabu, na Malki-shua, wana wa Sauli.+
8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu+